Matayo 8:20 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 20 Lakini Yesu akamuambia: “Mbweha wako na mashimo na ndege wa mbinguni wako na chicha,* lakini Mwana wa binadamu hana mahali pa kulalisha kichwa chake.”+ Wafilipi 2:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Hapana, lakini alijiondolea hali yake na akachukua umbo ya mutumwa+ na kuwa mwanadamu.*+
20 Lakini Yesu akamuambia: “Mbweha wako na mashimo na ndege wa mbinguni wako na chicha,* lakini Mwana wa binadamu hana mahali pa kulalisha kichwa chake.”+