3 “Mimi ni Muyahudi,+ nilizaliwa katika Tarso ya Kilikia,+ lakini nilipata elimu katika muji huu kwenye miguu ya Gamalieli,+ na nilifundishwa namna ya kufuata kabisa Sheria ya mababu,+ na niko na bidii kwa ajili ya Mungu kama vile ninyi wote muko nayo leo.+