Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorinto 1:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 6 Sasa kama tunapambana na majaribu,* ni kwa ajili ya faraja na wokovu wenu; na kama tunafarijiwa, ni kwa ajili ya faraja yenu, yenye inatenda ili kuwasaidia ninyi muvumilie mateso yaleyale yenye sisi pia tunapata.

  • Wakolosai 1:24
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 Sasa ninafurahi katika mateso yangu kwa ajili yenu,+ na ninapata taabu za Kristo zenye zingali zinakosa katika mwili wangu kwa ajili ya mwili wake,+ ambao ni kutaniko.+

  • 1 Watesalonike 2:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Basi, kwa kuwa tulikuwa na upendo wenye upole* kuwaelekea ninyi, hatukupenda tu kuwapatia ninyi habari njema ya Mungu, lakini pia tulipenda kuwapatia uzima wetu* wenyewe,+ kwa sababu mulikuwa wapendwa sana kwetu.+

  • Waebrania 13:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Mutii wale wenye wanaongoza kati yenu+ na munyenyekee,+ kwa maana wanaendelea kuwalinda ninyi* kama wale wenye watatoa hesabu,+ ili wafanye vile kwa furaha, hapana kwa kusumbuka, kwa maana jambo hilo lingewaumiza ninyi.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine