9 Na bado, wakati nilikuwa pamoja na ninyi na kuwa katika uhitaji, sikukuwa muzigo kwa mutu yeyote, kwa maana ndugu wenye walitoka Makedonia walinipatia kwa wingi vitu vyenye nilikuwa navyo lazima.+ Ndiyo, katika kila njia nilijizuia nisikuwe muzigo kwenu na nitaendelea kufanya vile.+