Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorinto 7:19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 Kutahiriwa hakumaanishe kitu, na kutokutahiriwa hakumaanishe kitu;+ jambo la maana ni kushika amri za Mungu.+

  • Wagalatia 6:15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Kwa maana kutahiriwa haiko kitu wala kutokutahiriwa,+ lakini kiumbe kipya ndicho kitu.+

  • Wakolosai 3:10, 11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 na muvae utu mupya,+ wenye kupitia ujuzi wenye hauna makosa* unafanywa kuwa mupya kulingana na mufano wa Ule mwenye aliuumba,+ 11 kwenye hakuna Mugiriki ao Muyahudi, kutahiriwa ao kutokutahiriwa, mugeni, Musikite,* mutumwa, ao mutu huru; lakini Kristo ni kila kitu na iko* katika vitu vyote.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine