10 na muvae utu mupya,+ wenye kupitia ujuzi wenye hauna makosa unafanywa kuwa mupya kulingana na mufano wa Ule mwenye aliuumba,+ 11 kwenye hakuna Mugiriki ao Muyahudi, kutahiriwa ao kutokutahiriwa, mugeni, Musikite, mutumwa, ao mutu huru; lakini Kristo ni kila kitu na iko katika vitu vyote.+