20 na kuambia wazee wa muji wake, ‘Huyu mwana wetu iko kichwa-nguvu na ni muasi, anakataa kututii. Ni mulafi+ na mulevi.’+ 21 Basi watu wote wa muji wake wanapaswa kumuua kwa kumupiga majiwe. Ni vile unapaswa kuondoa mambo ya mubaya katikati yako, na Israeli wote watasikia na kuogopa.+