-
1 Wakorinto 6:9, 10Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Ao je, hamujue kama watu wenye hawako wenye haki hawatariti Ufalme wa Mungu?+ Musidanganywe.* Waasherati,*+ waabudu-sanamu,+ wazinifu,+ wanaume wenye wanakubali matendo ya kulalwa na wanaume wenzao,+ wanaume wenye kulala na wanaume wenzao,+ 10 wezi, watu wenye kuwa na pupa,+ walevi,+ watukanaji,* wanyanganyi hawatariti Ufalme wa Mungu.+
-