Waroma 12:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Na muache kufinyangwa na mupangilio huu wa mambo,* lakini mugeuzwe kwa kufanya upya akili yenu,+ ili mujihakikishie ninyi wenyewe+ mapenzi ya Mungu yenye kuwa mema na yenye kukubalika na makamilifu. 1 Watesalonike 4:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu, kwamba munapaswa kuwa watakatifu+ na kujiepusha na uasherati.*+ 1 Petro 4:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 ili aishi wakati wake wenye kubakia katika mwili, hapana tena kwa ajili ya tamaa za wanadamu,+ lakini kwa ajili ya mapenzi ya Mungu.+
2 Na muache kufinyangwa na mupangilio huu wa mambo,* lakini mugeuzwe kwa kufanya upya akili yenu,+ ili mujihakikishie ninyi wenyewe+ mapenzi ya Mungu yenye kuwa mema na yenye kukubalika na makamilifu.
3 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu, kwamba munapaswa kuwa watakatifu+ na kujiepusha na uasherati.*+
2 ili aishi wakati wake wenye kubakia katika mwili, hapana tena kwa ajili ya tamaa za wanadamu,+ lakini kwa ajili ya mapenzi ya Mungu.+