12 Kwa maana kama vile mwili ni mumoja lakini uko na viungo vingi, na viungo vyote vya mwili huo, hata kama ni vingi, ni mwili mumoja,+ ni vile pia Kristo iko.*
28 Hakuna Muyahudi ao Mugiriki,+ hakuna mutumwa ao mutu huru,+ hakuna mwanaume ao mwanamuke,+ kwa maana ninyi wote ni kitu kimoja katika umoja na Kristo Yesu.+