15 lakini nikichelewa, ujue namna unapaswa kujiendesha katika nyumba ya Mungu,+ ambayo ni kutaniko la Mungu mwenye kuishi, nguzo na tegemezo la ile kweli.
6 lakini Kristo alikuwa muaminifu akiwa mwana+ juu ya nyumba ya Mungu. Sisi ni nyumba Yake,+ kama kwa kweli, tunashikilia imara uhuru wetu wa kusema na tumaini lenye tunajisifia mupaka mwisho.