-
2 Wakorinto 12:9, 10Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Lakini akaniambia: “Fazili zangu zenye hazistahiliwe zinakutosha, kwa maana nguvu zangu zinakamilishwa katika uzaifu.”+ Kwa furaha zaidi, basi, nitajisifu juu ya uzaifu wangu, ili nguvu za Kristo zibakie juu yangu kama hema. 10 Basi ninapendezwa na uzaifu, na matusi, na nyakati za uhitaji, na mateso na magumu, kwa ajili ya Kristo. Kwa maana wakati niko muzaifu, ndio wakati ninakuwa na nguvu.+
-