Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Isaya 40:29
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 29 Anapatia nguvu mutu mwenye kuchoka

      Na nguvu kamili wale wenye hawana nguvu.*+

  • 2 Wakorinto 4:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Hata hivyo, tuko na hazina hii+ katika vyombo vya udongo,*+ ili nguvu zenye kupita zile za kawaida zikuwe za Mungu, hapana zenye kutoka kwetu.+

  • 2 Wakorinto 12:9, 10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Lakini akaniambia: “Fazili zangu zenye hazistahiliwe zinakutosha, kwa maana nguvu zangu zinakamilishwa katika uzaifu.”+ Kwa furaha zaidi, basi, nitajisifu juu ya uzaifu wangu, ili nguvu za Kristo zibakie juu yangu kama hema. 10 Basi ninapendezwa na uzaifu, na matusi, na nyakati za uhitaji, na mateso na magumu, kwa ajili ya Kristo. Kwa maana wakati niko muzaifu, ndio wakati ninakuwa na nguvu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine