10 Sasa ninawatia ninyi moyo, ndugu, kupitia jina la Bwana wetu Yesu Kristo, kwamba ninyi wote museme kwa upatano, na kwamba kusikuwe migawanyiko kati yenu,+ lakini kwamba muunganishwe kabisa katika akili ileile na njia ileile ya kufikiri.+
11 Mwishowe, ndugu, muendelee kufurahi, kurekebishwa upya, kufarijiwa,+ kufikiri kwa upatano,+ kuishi kwa amani;+ na Mungu wa upendo na amani+ atakuwa pamoja na ninyi.