Yohana 5:22, 23 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Kwa maana Baba hahukumu mutu yeyote hata kidogo, lakini amepatia Mwana kazi yote ya kuhukumu,+ 23 ili wote wamuheshimie Mwana kama vile wanamuheshimia Baba. Kila mutu mwenye hamuheshimie Mwana, hamuheshimie Baba mwenye alimutuma.+
22 Kwa maana Baba hahukumu mutu yeyote hata kidogo, lakini amepatia Mwana kazi yote ya kuhukumu,+ 23 ili wote wamuheshimie Mwana kama vile wanamuheshimia Baba. Kila mutu mwenye hamuheshimie Mwana, hamuheshimie Baba mwenye alimutuma.+