Waebrania 13:15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 Kupitia yeye sikuzote tumutolee Mungu zabihu ya sifa,+ ni kusema, tunda la midomo yetu+ yenye inatangaza jina lake mbele ya watu wote.+ 1 Petro 2:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 ninyi wenyewe pia kama majiwe yenye uzima munajengwa kuwa nyumba ya kiroho+ kusudi mukuwe ukuhani mutakatifu, ili kutoa zabihu za kiroho+ zenye kukubalika kwa Mungu kupitia Yesu Kristo.+
15 Kupitia yeye sikuzote tumutolee Mungu zabihu ya sifa,+ ni kusema, tunda la midomo yetu+ yenye inatangaza jina lake mbele ya watu wote.+
5 ninyi wenyewe pia kama majiwe yenye uzima munajengwa kuwa nyumba ya kiroho+ kusudi mukuwe ukuhani mutakatifu, ili kutoa zabihu za kiroho+ zenye kukubalika kwa Mungu kupitia Yesu Kristo.+