Tito 3:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 wasiseme mubaya juu ya mutu yeyote, wasikuwe wagomvi, lakini wakuwe na usawaziko,+ na wakuwe wapole kuelekea watu wote.+ Yakobo 3:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Lakini hekima yenye inatoka juu kwanza kabisa ni safi,+ kisha yenye kufanya amani,+ yenye usawaziko,+ tayari kutii, yenye kujaa rehema na matunda ya muzuri,+ haibague,+ na haiko ya kinafiki.+
2 wasiseme mubaya juu ya mutu yeyote, wasikuwe wagomvi, lakini wakuwe na usawaziko,+ na wakuwe wapole kuelekea watu wote.+
17 Lakini hekima yenye inatoka juu kwanza kabisa ni safi,+ kisha yenye kufanya amani,+ yenye usawaziko,+ tayari kutii, yenye kujaa rehema na matunda ya muzuri,+ haibague,+ na haiko ya kinafiki.+