1 Wakorinto 4:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Ndiyo sababu ninamutuma Timoteo kwenu, kwa sababu yeye ni mutoto wangu mupendwa na muaminifu katika Bwana. Atawakumbusha ufundi wangu mbalimbali* kuhusiana na Kristo Yesu,+ kama vile ninafundisha kila mahali katika kila kutaniko.
17 Ndiyo sababu ninamutuma Timoteo kwenu, kwa sababu yeye ni mutoto wangu mupendwa na muaminifu katika Bwana. Atawakumbusha ufundi wangu mbalimbali* kuhusiana na Kristo Yesu,+ kama vile ninafundisha kila mahali katika kila kutaniko.