10 Akawaambia: “Ninyi mumepewa uwezo wa kuelewa siri takatifu za Ufalme wa Mungu, lakini wengine ninasema nao kwa mifano,+ ili hata kama wanaona waone bure, na hata kama wanasikia, wasielewe maana.+
7 Lakini tunazungumuza juu ya hekima ya Mungu katika siri takatifu,+ hekima yenye ilifichwa, yenye Mungu alipanga mbele ya wakati mbele ya mipangilio ya mambo* kwa ajili ya utukufu wetu.