Waefeso 2:20 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 20 na mumejengwa juu ya musingi wa mitume na manabii,+ na Kristo Yesu mwenyewe ndiye jiwe la musingi la pembe.+ Waefeso 3:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 na kwamba kupitia imani yenu mukuwe na Kristo akikaa katika mioyo yenu kwa upendo.+ Mukuwe na mizizi+ na kufanywa imara juu ya ule musingi,+
20 na mumejengwa juu ya musingi wa mitume na manabii,+ na Kristo Yesu mwenyewe ndiye jiwe la musingi la pembe.+
17 na kwamba kupitia imani yenu mukuwe na Kristo akikaa katika mioyo yenu kwa upendo.+ Mukuwe na mizizi+ na kufanywa imara juu ya ule musingi,+