Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:27
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 27 Yehova akaendelea kumuambia Musa: “Unapaswa kuandika maneno haya,+ kwa sababu kwa musingi wa maneno haya, ninafanya agano pamoja na wewe na pamoja na Israeli.”+

  • Kumbukumbu la Torati 31:24-26
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 Wakati tu Musa alimaliza kuandika maneno yote ya Sheria hii katika kitabu,+ 25 Musa akaamuru Walawi wenye wanabeba sanduku la agano la Yehova, na kusema: 26 “Mukamate kitabu hiki cha Sheria+ na mukiweke pembeni ya sanduku la agano+ la Yehova Mungu wenu, na kitakuwa ushahidi juu yako mahali pale.

  • Waebrania 7:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Kwa hiyo basi, ile amri ya zamani inawekwa pembeni kwa sababu ni zaifu na haifae.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine