Waroma 14:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Ule mwenye anashika siku anaishika kwa ajili ya Yehova.* Pia, ule mwenye anakula, anakula kwa ajili ya Yehova,* kwa maana yeye anamushukuru Mungu;+ na ule mwenye hakule, hakule kwa ajili ya Yehova,* na bado yeye anamushukuru Mungu.+
6 Ule mwenye anashika siku anaishika kwa ajili ya Yehova.* Pia, ule mwenye anakula, anakula kwa ajili ya Yehova,* kwa maana yeye anamushukuru Mungu;+ na ule mwenye hakule, hakule kwa ajili ya Yehova,* na bado yeye anamushukuru Mungu.+