Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorinto 2:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Mambo hayo tunayasema pia, hapana kwa maneno yenye kufundishwa kwa hekima ya binadamu,+ lakini kwa maneno yenye kufundishwa kwa roho,+ wakati tunaeleza mambo ya kiroho kwa kutumia* maneno ya kiroho.

  • 1 Wakorinto 3:19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 Kwa maana hekima ya ulimwengu huu ni upumbavu kwa Mungu, kwa maana imeandikwa: “Yeye anakamata wenye hekima katika ujanja wao wenyewe.”+

  • Wakolosai 2:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Mufanye angalisho ili mutu yeyote asiwakamate mateka* kupitia filozofia na udanganyifu wa bure+ kulingana na desturi ya wanadamu, kulingana na mambo ya musingi ya ulimwengu na hapana kulingana na Kristo;

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine