24 Kwa kweli kabisa ninawaambia ninyi, kila mutu mwenye anasikia neno langu na kumuamini Ule mwenye alinituma iko* na uzima wa milele,+ na haingie katika hukumu lakini amevuka kutoka katika kifo na kuingia katika uzima.+
2 (ndiyo, uzima ulifunuliwa, na tuliona na tunatoa ushahidi+ na kuwajulisha ninyi uzima wa milele+ wenye ulikuwa pamoja na Baba, na ulifunuliwa kwetu),