Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Timoteo 6:3, 4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Kama mutu yeyote anafundisha fundisho lingine na hakubaliane na agizo lenye faida,*+ lenye kutoka kwa Bwana wetu Yesu Kristo, ao hakubaliane na fundisho lenye kupatana na ushikamanifu kwa Mungu,+ 4 yeye anajivuna kwa kiburi na haelewe kitu.+ Anapenda sana* ubishi na mashindano juu ya maneno.+ Mambo hayo yanaleta wivu, mizozo, uchongezi,* na kuwazia wengine mubaya,

  • Tito 1:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Kwa maana akiwa musimamizi-nyumba wa Mungu, mwangalizi anapaswa kuwa mutu mwenye hana mashitaka, asikuwe kichwa-nguvu,+ asikuwe mwenye kukasirika haraka,+ asikuwe mulevi, asikuwe mutu wa jeuri,* asikuwe mwenye pupa ya kupata faida yenye haiko ya haki,

  • Tito 1:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 mwenye kushikamana kabisa na neno la uaminifu* katika ufundi wake wa kufundisha,+ ili aweze kutia moyo kupitia fundisho lenye faida*+ na kukaripia+ wale wenye kupinga.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine