-
1 Timoteo 6:3, 4Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
3 Kama mutu yeyote anafundisha fundisho lingine na hakubaliane na agizo lenye faida,*+ lenye kutoka kwa Bwana wetu Yesu Kristo, ao hakubaliane na fundisho lenye kupatana na ushikamanifu kwa Mungu,+ 4 yeye anajivuna kwa kiburi na haelewe kitu.+ Anapenda sana* ubishi na mashindano juu ya maneno.+ Mambo hayo yanaleta wivu, mizozo, uchongezi,* na kuwazia wengine mubaya,
-