15 Kwa maana hamukupokea roho ya utumwa yenye inaleta woga tena, lakini mulipokea roho ya kufanywa kuwa wana, roho yenye kupitia hiyo tunaita kwa sauti kubwa: “Abba,* Baba!”+
2 Kwa maana hata kama tuliteseka kwanza na kutendewa kwa zarau kule Filipi,+ kama vile munajua, Mungu wetu alitufanya tusikuwe na woga* ili tuwatangazie ninyi habari njema ya Mungu+ katika upinzani mwingi.*