Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matayo 24:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Wakati alikuwa amekaa chini kwenye Mulima wa Mizeituni, wanafunzi wakamukaribia akiwa peke yake, na kusema: “Tuambie, mambo haya yatakuwa wakati gani, na ni nini itakuwa alama ya kuwapo*+ kwako na ya umalizio wa mupangilio wa mambo?”*+

  • 1 Timoteo 4:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 Lakini, neno lenye liliongozwa na roho linasema* wazi kama nyakati zenye kuja, watu fulani wataacha imani na kusikiliza maneno yenye kupotosha yenye kuongozwa na roho*+ na mafundisho ya pepo wachafu,

  • 2 Petro 3:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Kwanza kabisa mujue hili, kwamba katika siku za mwisho wazihaki watakuja na zihaka zao, wakitenda kulingana na tamaa zao wenyewe+

  • Yuda 17, 18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Lakini ninyi, wapendwa, mukumbuke maneno yenye yalisemwa* zamani na mitume wa Bwana wetu Yesu Kristo, 18 namna walikuwa wanawaambia: “Wakati wa mwisho kutakuwa wazihaki, wenye watafuata tamaa zao kwa ajili ya mambo ya kukosa kumuogopa Mungu.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine