3 Wakati alikuwa amekaa chini kwenye Mulima wa Mizeituni, wanafunzi wakamukaribia akiwa peke yake, na kusema: “Tuambie, mambo haya yatakuwa wakati gani, na ni nini itakuwa alama ya kuwapo*+ kwako na ya umalizio wa mupangilio wa mambo?”*+
4Lakini, neno lenye liliongozwa na roho linasema* wazi kama nyakati zenye kuja, watu fulani wataacha imani na kusikiliza maneno yenye kupotosha yenye kuongozwa na roho*+ na mafundisho ya pepo wachafu,
17 Lakini ninyi, wapendwa, mukumbuke maneno yenye yalisemwa* zamani na mitume wa Bwana wetu Yesu Kristo, 18 namna walikuwa wanawaambia: “Wakati wa mwisho kutakuwa wazihaki, wenye watafuata tamaa zao kwa ajili ya mambo ya kukosa kumuogopa Mungu.”+