-
Matayo 7:22, 23Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
22 Wengi wataniambia siku hiyo: ‘Bwana, Bwana,+ je, hatukutoa unabii katika jina lako, na kufukuza pepo wachafu katika jina lako, na kufanya matendo mengi yenye nguvu katika jina lako?’+ 23 Halafu nitawaambia: ‘Sikuwajua ninyi hata kidogo! Mutoke mbele yangu, ninyi wenye matendo ya kuvunja sheria!’+
-