Yohana 14:26 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 26 Lakini musaidizi, roho takatifu yenye Baba atatuma katika jina langu, huyo atawafundisha mambo yote na kuwakumbusha mambo yote yenye niliwaambia.+ 2 Petro 1:21 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 21 Kwa maana unabii haukuletwa wakati wowote kwa mapenzi ya mwanadamu,+ lakini wanadamu walisema yenye yalitoka kwa Mungu wakiongozwa* na roho takatifu.+
26 Lakini musaidizi, roho takatifu yenye Baba atatuma katika jina langu, huyo atawafundisha mambo yote na kuwakumbusha mambo yote yenye niliwaambia.+
21 Kwa maana unabii haukuletwa wakati wowote kwa mapenzi ya mwanadamu,+ lakini wanadamu walisema yenye yalitoka kwa Mungu wakiongozwa* na roho takatifu.+