15 Malaika wa saba (7) akapiga tarumbeta yake.+ Na sauti kubwa zikasikiwa mbinguni, zikisema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa Ufalme wa Bwana wetu+ na wa Kristo wake,+ na atatawala akiwa mufalme milele na milele.”+
“Sasa kumekuwa wokovu+ na nguvu na Ufalme wa Mungu wetu+ na mamlaka ya Kristo wake, kwa sababu mushitaki wa ndugu zetu ametupwa chini, mwenye anawashitaki muchana na usiku mbele ya Mungu wetu!+