3 Kwa maana kupitia fazili zenye hazistahiliwe zenye nilipewa, ninaambia kila mutu pale kati yenu asijifikirie yeye mwenyewe sana kuliko vile inaomba kufikiri,+ lakini afikiri ili akuwe na akili ya muzuri, kila mumoja kama vile Mungu alimupatia* kipimo cha imani.+
2 Basi, mwangalizi anapaswa kuwa bila lawama, bwana wa bibi mumoja, mwenye kiasi katika tabia zake, mwenye akili ya muzuri,*+ mwenye utaratibu, mwenye kukaribisha wageni,+ mwenye uwezo wa kufundisha,+