29 Basi muji ukajaa muvurugo na wote pamoja wakakimbia na kuingia katika jumba la maonyesho, wakamukokota Gayo na Aristarko,+ Wamakedonia wenye walikuwa wanasafiri pamoja na Paulo.
2 Tukapanda katika mashua* ya kutoka Adramitiamu yenye ilikuwa karibu kusafiri kuenda kwenye bandari* zenye kuwa pembeni ya bahari katika jimbo la Asia, tukasafiri kwa mashua; Aristarko,+ Mumakedonia wa Tesalonike, alikuwa pamoja na sisi.
10 Aristarko+ mwenzangu wa utekwa anawatumia salamu zake, na pia Marko,+ binamu ya Barnaba (mwenye mulipokea maagizo ya kumukaribisha+ ikiwa atakuja kwenu),