-
Waefeso 6:19, 20Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
19 Musali pia kwa ajili yangu, kwamba nipewe maneno ya kusema wakati ninafungua kinywa, ili niweze kusema bila woga wakati ninajulisha siri takatifu ya habari njema,+ 20 yenye kwa ajili yake ninatenda kama balozi*+ mwenye amefungwa minyororo, na kwamba niweze kusema juu ya habari njema hiyo bila woga, kama vile ninapaswa kusema.
-