33 “Kwa maana hili ndilo agano lenye nitafanya pamoja na nyumba ya Israeli kisha siku hizo,” ni vile Yehova anasema. “Nitatia sheria yangu ndani yao,+ na nitaiandika katika moyo wao.+ Na nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+
10 “‘Kwa maana hili ndilo agano lenye nitafanya pamoja na nyumba ya Israeli kisha siku hizo,’ ni vile Yehova* anasema. ‘Nitatia sheria zangu katika akili yao, na nitaziandika katika mioyo yao.+ Na nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.+