-
Waebrania 6:4-6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
4 Kwa maana kuhusu wale wenye wakati fulani walikuwa kwenye mwangaza+ na wenye wameonja zawadi ya bure ya kimbingu na wenye wamekuwa washiriki wa roho takatifu 5 na wenye wameonja neno la muzuri la Mungu na nguvu za mupangilio wa mambo* wenye unakuja, 6 lakini wameanguka,+ haiwezekane kuwarudisha tena kwenye toba, kwa sababu wanapigilia tena Mwana wa Mungu misumari kwenye muti kwa ajili yao wenyewe na kumupatisha haya mbele ya watu wote.+
-