31 Kisha Tera akamuchukua Abramu mwana wake na Loti mujukuu wake,+ mwana wa Harani, na Sarai binti-mukwe wake, bibi ya Abramu mwana wake, wakatoka Uru ya Wakaldayo pamoja naye ili kuenda katika inchi ya Kanaani.+ Kisha wakati fulani wakafika Harani+ na wakaanza kukaa kule.