-
1 Wafalme 17:22-24Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
22 Yehova akasikiliza ombi la Eliya,+ na uzima wa ule mutoto ukarudia* ndani yake, na akakuwa muzima tena.+ 23 Eliya akamuchukua ule mutoto, akamushusha kutoka katika kile chumba cha juu, akamuleta katika nyumba na kumupatia mama yake; na Eliya akasema: “Ona, mwana wako ni muzima.”+ 24 Halafu ule mwanamuke akamuambia Eliya: “Sasa ninajua kwa kweli kwamba wewe ni mutu wa Mungu+ na kwamba neno la Yehova katika kinywa chako ni kweli.”
-
-
2 Wafalme 4:32Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
32 Wakati Elisha aliingia katika nyumba, ule kijana mudogo alikuwa amelala kwenye kitanda chake akiwa amekufa.+
-
-
2 Wafalme 4:34Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
34 Kisha akapanda kwenye kitanda na akalala juu ya ule mutoto na akatia kinywa chake juu ya kinywa cha ule kijana mudogo, macho yake juu ya macho yake, na viganja vyake vya mikono juu ya viganja vyake vya mikono na akaendelea kuinama juu yake, na mwili wa ule kijana mudogo ukaanza kupata joto.+
-