Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waroma 6:19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 Ninasema katika maneno ya wanadamu kwa sababu ya uzaifu wa mwili wenu; kwa maana kama vile mulitoa viungo vyenu kuwa watumwa wa uchafu na uvunjaji wa sheria wenye unaongoza kwenye uvunjaji wa sheria, basi sasa mutoe viungo vyenu kuwa watumwa wa haki yenye inaongoza kwenye utakatifu.+

  • 1 Watesalonike 4:3, 4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu, kwamba munapaswa kuwa watakatifu+ na kujiepusha na uasherati.*+ 4 Kila mumoja wenu anapaswa kujua namna ya kuzuia mwili wake*+ katika utakatifu+ na heshima,

  • Waebrania 10:10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Kwa “mapenzi” hayo+ sisi tumetakaswa kupitia toleo la mwili wa Yesu Kristo mara moja kwa wakati wote.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine