19 Ninasema katika maneno ya wanadamu kwa sababu ya uzaifu wa mwili wenu; kwa maana kama vile mulitoa viungo vyenu kuwa watumwa wa uchafu na uvunjaji wa sheria wenye unaongoza kwenye uvunjaji wa sheria, basi sasa mutoe viungo vyenu kuwa watumwa wa haki yenye inaongoza kwenye utakatifu.+