-
Kumbukumbu la Torati 4:11, 12Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 “Kwa hiyo mulikaribia na kusimama kwenye sehemu ya chini ya mulima, na mulima huo ulikuwa unawaka moto mupaka kwenye mbingu zenyewe;* kulikuwa giza, wingu, weusi muzito.+ 12 Na Yehova akaanza kusema na ninyi kutoka katika moto.+ Mulisikia sauti ya maneno, lakini hamukuona umbo lolote+—kulikuwa sauti tu.+
-