37 “Zaidi ya hayo, muache kuhukumu, na ninyi hamutahukumiwa hata kidogo;+ na muache kulaumu, na ninyi hamutalaumiwa hata kidogo. Muendelee kusamehe,* na ninyi mutasamehewa.*+
4 Wewe ni nani ili umuhukumu mutumishi wa mwingine?+ Kwa bwana wake anasimama ao anaanguka.+ Kwa kweli, atasimamishwa, kwa maana Yehova* anaweza kumusimamisha.