Mezali 11:28 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 28 Mwenye kutegemea utajiri wake ataanguka,+Lakini wenye haki watasitawi kama majani.+ Luka 6:24 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 24 “Lakini ole wenu ninyi matajiri,+ kwa maana munapata faraja yenu kikamili.+ Luka 18:25 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 25 Kwa kweli, ni vyepesi zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano ya kushonea kuliko tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu.”+
25 Kwa kweli, ni vyepesi zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano ya kushonea kuliko tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu.”+