19 “‘Watatupa feza yao katika barabara, na zahabu yao itawachukiza. Feza yao wala zahabu yao haitaweza kuwaokoa katika siku ya kasirani kali ya Yehova.+ Hawatashiba,* wala kujaza matumbo yao, kwa maana hiyo* imekuwa kikwazo chenye kinatokeza kosa lao.