2 Mambo ya Nyakati 36:16 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 Lakini waliendelea kuchekelea wajumbe wa Mungu wa kweli,+ na walizarau maneno yake+ na kuchekelea manabii wake,+ mupaka wakati kasirani kali ya Yehova ilikuja juu ya watu wake,+ na hivyo hawangeweza kuponyeshwa.
16 Lakini waliendelea kuchekelea wajumbe wa Mungu wa kweli,+ na walizarau maneno yake+ na kuchekelea manabii wake,+ mupaka wakati kasirani kali ya Yehova ilikuja juu ya watu wake,+ na hivyo hawangeweza kuponyeshwa.