Matayo 5:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 “Wenye furaha ni wale wenye wameteswa kwa sababu ya haki,+ kwa maana Ufalme wa mbinguni ni wao. Yakobo 1:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Muone yote kuwa furaha, ndugu zangu, wakati munapata majaribu mbalimbali,+