Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 12:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Basi Daudi akamuambia Natani: “Nimemutendea Yehova zambi.”+ Natani akamujibu Daudi: “Yehova naye amesamehe zambi yako.*+ Hautakufa.+

  • Zaburi 32:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  5 Mwishowe niliungama zambi yangu kwako;

      Sikufunika kosa langu.+

      Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+

      Na ulisamehe kosa la zambi zangu.+ (Sela)

  • Mezali 28:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Mwenye anafunika makosa yake hatafanikiwa,+

      Lakini kila mutu mwenye anayaungama na kuyaacha ataonyeshwa rehema.+

  • 1 Yohana 1:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Kama tunaungama zambi zetu, yeye ni muaminifu na mwenye haki na atatusamehe zambi zetu na kutusafisha na kila namna ya ukosefu wa haki.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine