8 Tangu sasa na kuendelea, nimewekewa akiba taji la haki,+ lenye Bwana, muamuzi mwenye haki,+ atanipatia kuwa zawabu katika ile siku,+ hapana mimi tu, lakini pia wale wote wenye wamependa kufunuliwa kwake.
10 Usiogope mateso yenye yako karibu kukupata.+ Angalia! Ibilisi ataendelea kutupa wamoja wenu katika gereza ili mujaribiwe kwa ukamili, na mutapata taabu kwa siku kumi (10). Ukuwe muaminifu hata kufikia kifo, na mimi nitakupatia taji la uzima.+