4 Hao ndio wale wenye hawakujichafua na wanamuke; kwa kweli, wao ni mabikira.+ Hao ndio wale wenye wanaendelea kumufuata Mwana-Kondoo kila mahali anaenda.+ Hao walinunuliwa+ kutoka kati ya wanadamu wakiwa matunda ya kwanza+ kwa ajili ya Mungu na kwa ajili ya Mwana-Kondoo,