Mezali 3:34 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 34 Kwa maana yeye anachekelea wale wenye kuchekelea wengine,+Lakini anaonyesha wapole wema.+ 1 Petro 5:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Katika njia ileile, ninyi vijana, mujitiishe kwa wanaume wazee.*+ Lakini ninyi wote muvae* unyenyekevu* wamoja kuelekea wengine, kwa sababu Mungu anawapinga wenye majivuno, lakini anawapatia wanyenyekevu fazili zenye hazistahiliwe.+
5 Katika njia ileile, ninyi vijana, mujitiishe kwa wanaume wazee.*+ Lakini ninyi wote muvae* unyenyekevu* wamoja kuelekea wengine, kwa sababu Mungu anawapinga wenye majivuno, lakini anawapatia wanyenyekevu fazili zenye hazistahiliwe.+