Mezali 8:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Kumuogopa Yehova kunamaanisha kuchukia ubaya.+ Ninachukia kujiinua na kiburi+ na njia ya uovu na maneno yenye kupotoka.+
13 Kumuogopa Yehova kunamaanisha kuchukia ubaya.+ Ninachukia kujiinua na kiburi+ na njia ya uovu na maneno yenye kupotoka.+