-
Matendo 23:1Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
23 Paulo akakazia Sanhedrini macho, akasema: “Wanaume, ndugu, nimejiendesha kwa zamiri safi+ kabisa mbele ya Mungu mupaka leo.”
-
-
1 Timoteo 1:18, 19Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
18 Ninakupatia agizo* hili, mutoto wangu Timoteo, kupatana na unabii mbalimbali wenye ulitolewa juu yako, kwamba kupitia unabii huo, uendelee kupigana vita ya muzuri,+ 19 ukishika imani na zamiri ya muzuri,+ yenye wengine wametupa pembeni, na hilo likafanya imani yao iharibike kama mashua* yenye kuvunjika.
-
-
1 Timoteo 3:9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 wakuwe wenye kushika siri takatifu ya imani kwa zamiri safi.+
-