13 Wakati uleule wanajifunza pia kuwa wavivu, wakizunguka nyumba kwa nyumba; ndiyo, hawakuwe tu wavivu lakini pia wanapiga porojo* na wanajiingiza katika mambo ya watu wengine,+ wakizungumuza juu ya mambo yenye hawapaswe kuzungumuzia.
20 Kwa maana kuko faida gani kama wakati munapigwa kwa sababu ya kufanya zambi na munavumilia jambo hilo?+ Lakini kama munavumilia mateso kwa sababu ya kufanya mema, jambo hilo linamupendeza Mungu.+