2 wakati tunakaza macho kwa uangalifu juu ya Kiongozi Mukubwa na Mukamilishaji wa imani yetu, Yesu.+ Kwa sababu ya furaha yenye iliwekwa mbele yake, alivumilia muti wa mateso, akazarau haya, na amekaa kwenye mukono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Mungu.+